|
HADITHI YA 42 - UTAKAPONIOMBA NA KUWEKA MATUMAINI |
عن أنس رضي الله عنه قَالَ: سَمِعْتُ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وآله وسلم يَقُولُ: ((قَالَ اللَّهُ تَعَالَى: يَا ابْنَ آدَمَ إِنَّكَ مَا دَعَوْتَنِي وَرَجَوْتَنِي غَفَرْتُ لَكَ عَلَى مَا كَانَ مِنْكَ وَلاَ أُبَالِي. يَا ابْنَ آدَمَ لَوْ بَلَغَتْ ذُنُوبُكَ عَنَانَ السَّمَاءِ ثُمَّ اسْتَغْفَرْتَنِي غَفَرْتُ لَكَ . يَا ابْنَ آدَمَ إِنَّكَ لَوْ أَتَيْتَنِي بِقُرَابِ الأَرْضِ خَطَايَا ثُمَّ لَقِيتَنِي لاَ تُشْرِكُ بِي شَيْئًا لاَتَيْتُكَ بِقُرَابِهَا مَغْفِرَةً))رَوَاهُ التِّرْمِذِيُّ وَقَالَ: حَدِيثٌ حَسَنٌ صَحِيحٌ. ‘AN ANAS RADHIYA LLAAHU ‘ANHU QAAL: SAMI’ITU RASUULA LLAAHI SALLA ALLAHU ‘ALAYHI WASALLAM YAQUUL: |
|
Endelea...
|
|
|
Isbaal – Vazi La Mwanamme Lenye Kuvuka Mafundo Ya Miguu (Uburuzaji Au Kuburura) - 2 |
|
Abu ‘Abdillaah Hapa chini tutaona hoja au madai tata za wanaotetea kuburuza/ kuburura nguo na majibu dhidi ya madai hayo. Hoja Mojawapo: Kuwa Isbaal Inawahusu Wenye Kuvaa Kwa Kiburi Au Kwa Fakhari Tu Baadhi ya watu wanarukhusu Isbaal kwa kudai kuwa makatazo yaliyokuja katika Hadiyth mbalimbali ni kwa wale tu wanaovaa kwa kiburi au kujifakharisha. Ima kwa wale wanaovaa tu bila kukusudia kiburi basi inafaa na hakuna ubaya wowote. Wakitoa hoja kwa kutumia baadhi ya Hadiyth, mojawapo ya Hadiyth hizo ni Hadiyth maarufu ya kumhusu Abu Bakr (Radhiya Allaahu kuwa nguo yake ilikuwa ikiburuza, ambayo Mtume ‘anhu) anasema: “Mwenye kuburuza nguo yake kwa kiburi, Allaah Hatomtazama siku ya Qiyaamah” Abu Bakr akasema: Ee Mjumbe wa Allaah! Upande mmoja wa kikoi changu unashuka hadi niuvute na kuuzuia, Mtume akamjibu: Wewe si mwenye kufanya kwa kiburi” Imesimuliwa na al-Bukhaariy |
|
Endelea...
|
|
|
TAARIFA YA JUMUIYA KUHUSU JENGO |
Tunasikitika kuwajuulisha Wanajumuiya na wazazi kwamba maombi yetu tuliyowakilisha Planning Commission tarehe 23/03/2009 yamekataliwa katika kikao kilichokaa tarehe 26/05/09. |
|
Endelea...
|
|
|
|
<< Start < Prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 Next > End >>
|
| Results 1 - 4 of 40 |