|
Taarifa ya Jumuiya ya Mwaka 1429/30 - 2009 |
|
Saturday, 13 March 2010 |
Yaliyomo;1. Utangulizi2. Jumuiya3. Kitengo cha Fedha4. Kamati ya Da’awah5. Madrasah6. Kinamama7. Mfuko wa Misiba8. Fundrising9. Uratibu shughuli za Jumuiya.10. Tovuti - Website11. Jengo12. Hitimisho |
|
Read more...
|
|
|
Fitna na Namna ya Kukabiliana Nayo |
|
Sunday, 28 February 2010 |
Na Ummu Nassra Maana ya neno fitna katika Qur-aanFitna ni neno la kiarabu فتنةَ) lenye maana pana. Maana iliyo maarufu katika jamii yetu ni kama; mitihani, machafuko, majaribio na kutoelewana baina ya watu. Neno fitna limetumika sana katika Qur-aan lenye makusudio tofauti. Miongoni wa hayo ni:1. Mtihani na majaribio: [Al-Ankabuut 29:2 - 3] Anasema Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala) ((أَحَسِبَ ٱلنَّاسُ أَن يُتۡرَكُوٓاْ أَن يَقُولُوٓاْ ءَامَنَّا وَهُمۡ لَا يُفۡتَنُونَ))Je, wanadhani watu wataachwa kwa kuwa wanasema: Tumeamini. Nao wasijaribiwe? |
|
Read more...
|
|
|
NAFASI ZA MASOMO KWA AKINAMAMA - SAUDIA |
|
Friday, 19 February 2010 |
Princess Noura bint Abdur Rahman University Eligibility requirements 1. High school diploma 2. Recommendation of good character from your school. 3. Recommendation from your masjid or Islamic center you attend. 4. A CV with all your details and an explanation that states why you are deserving of this scholarship. 5. Marriage certificate (if married |
|
Read more...
|
|
|
|
<< Start < Prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 Next > End >>
|
| Results 1 - 4 of 81 |