The Hijri Calendar Converter Widget
requires Adobe Flash
Player 7 or higher.

To view it, click here
to get the latest
Adobe Flash Player.
Yaliyomo
Nyumbani
Quraan
Ukumbi
Makala
Fiqh
Sira
Maadili
Itikadi
Habari
Videos
Mapishi
Mawaidha
Ratiba Ya Swalah
Vitabu
Quiz
Matangazo
Fomu
Hadiyth 40
Hadiyth Za Wiki
HABARI
Nyumbani
Taarifa ya Jumuiya ya Mwaka 1429/30 - 2009
Saturday, 13 March 2010

Yaliyomo;

1.    Utangulizi

2.    Jumuiya

3.    Kitengo cha Fedha

4.    Kamati ya Da’awah

5.    Madrasah

6.    Kinamama

7.    Mfuko wa Misiba

8.    Fundrising

9.    Uratibu shughuli za Jumuiya.

10. Tovuti - Website

11. Jengo

12. Hitimisho

Read more...
 
Fitna na Namna ya Kukabiliana Nayo
Sunday, 28 February 2010

Na Ummu Nassra

 

Maana ya neno fitna katika Qur-aan

Fitna ni neno la kiarabu  فتنةَ) lenye maana pana.  Maana iliyo maarufu katika jamii yetu ni kama; mitihani, machafuko, majaribio na kutoelewana baina ya watu.

Neno fitna limetumika sana katika Qur-aan lenye makusudio tofauti. Miongoni wa hayo ni:

1.   Mtihani na majaribio: [Al-Ankabuut 29:2 - 3] Anasema Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala)

 

 ((أَحَسِبَ ٱلنَّاسُ أَن يُتۡرَكُوٓاْ أَن يَقُولُوٓاْ ءَامَنَّا وَهُمۡ لَا يُفۡتَنُونَ))

Je, wanadhani watu wataachwa kwa kuwa wanasema: Tumeamini. Nao wasijaribiwe?

Read more...
 
NAFASI ZA MASOMO KWA AKINAMAMA - SAUDIA
Friday, 19 February 2010
 

Princess Noura bint Abdur Rahman University

 

Eligibility requirements

 

1. High school diploma

 

2. Recommendation of good character from your school.

 

3. Recommendation from your masjid or Islamic center you attend.

 

4. A CV with all your details and an explanation that states why you are deserving of this scholarship.

 

5. Marriage certificate (if married

Read more...
 
<< Start < Prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 Next > End >>

Results 1 - 4 of 81
Administrator
Wahusika
Aya za Quran
Displaying:
Srh. Al-A'raf (7)
Ayat 148
 Listen to this ayat (verse) 
7.148 . Na baada yake walimfanya ndama kutokana na mapambo yao (kumuabudu), kiwiliwili tu kilichokuwa na sauti (lakini hakikuwa na roho). Hivyo, hawakuona kuwa (ndama huyo) hawasemezi wala hawaongoi njia? Wakamuabudu, na wakawa wenye kudhulumu.

[ Srh. Al-A'raf : 148 ]
Who's Online
We have 1 guest online

 

© 2010 Madrasatul Iman al – Islamiyyah

Web Master