Yaliyomo
Nyumbani
Ukumbi
Quraan
Makala
Fiqh
Sira
Hadith za Wiki
Maadili
Itikadi
Habari
Videos
Mapishi
Mawaidha
Ratiba Ya Swalah
Vitabu
Quiz
Matangazo
Fomu
Login Form





Umepoteza Password?
Nyumbani
HADITHI YA 42 - UTAKAPONIOMBA NA KUWEKA MATUMAINI
 

عن أنس رضي الله عنه   قَالَ: سَمِعْتُ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وآله وسلم     يَقُولُ: 

 ((قَالَ اللَّهُ تَعَالَى: يَا ابْنَ آدَمَ إِنَّكَ مَا دَعَوْتَنِي وَرَجَوْتَنِي غَفَرْتُ لَكَ عَلَى مَا كَانَ مِنْكَ وَلاَ أُبَالِي. يَا ابْنَ آدَمَ لَوْ بَلَغَتْ ذُنُوبُكَ عَنَانَ السَّمَاءِ ثُمَّ اسْتَغْفَرْتَنِي غَفَرْتُ لَكَ . يَا ابْنَ آدَمَ إِنَّكَ لَوْ أَتَيْتَنِي بِقُرَابِ الأَرْضِ خَطَايَا ثُمَّ لَقِيتَنِي لاَ تُشْرِكُ بِي شَيْئًا لاَتَيْتُكَ بِقُرَابِهَا مَغْفِرَةً))

رَوَاهُ التِّرْمِذِيُّ وَقَالَ: حَدِيثٌ حَسَنٌ صَحِيحٌ.

‘AN ANAS RADHIYA LLAAHU ‘ANHU QAAL: SAMI’ITU RASUULA LLAAHI SALLA ALLAHU ‘ALAYHI WASALLAM YAQUUL:

Endelea...
 
Isbaal – Vazi La Mwanamme Lenye Kuvuka Mafundo Ya Miguu (Uburuzaji Au Kuburura) - 2

Abu ‘Abdillaah

  

 

Hapa chini tutaona hoja au madai tata za wanaotetea kuburuza/ kuburura nguo na majibu dhidi ya madai hayo. 

  

 

Hoja Mojawapo: Kuwa Isbaal Inawahusu Wenye Kuvaa Kwa Kiburi Au Kwa Fakhari Tu 

 

Baadhi ya watu wanarukhusu Isbaal kwa kudai kuwa makatazo yaliyokuja katika Hadiyth mbalimbali ni kwa wale tu wanaovaa kwa kiburi au kujifakharisha. Ima kwa wale wanaovaa tu bila kukusudia kiburi basi inafaa na hakuna ubaya wowote. Wakitoa hoja kwa kutumia baadhi ya Hadiyth, mojawapo ya Hadiyth hizo ni Hadiyth maarufu ya kumhusu Abu Bakr (Radhiya Allaahu kuwa nguo yake ilikuwa ikiburuza, ambayo Mtume ‘anhu) anasema:

“Mwenye kuburuza nguo yake kwa kiburi, Allaah Hatomtazama siku ya Qiyaamah” Abu Bakr akasema: Ee Mjumbe wa Allaah! Upande mmoja wa kikoi changu unashuka hadi niuvute na kuuzuia, Mtume akamjibu: Wewe si mwenye kufanya kwa kiburi” Imesimuliwa na al-Bukhaariy

Endelea...
 
TAARIFA YA JUMUIYA KUHUSU JENGO

Tunasikitika kuwajuulisha Wanajumuiya na wazazi kwamba maombi yetu tuliyowakilisha Planning Commission tarehe 23/03/2009 yamekataliwa katika kikao kilichokaa tarehe 26/05/09.

Endelea...
 
<< Start < Prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 Next > End >>

Results 1 - 4 of 40
Administrator
Wahusika
Aya za Quran
Displaying:
Srh. An-Nisa (4)
Ayat 53
 Listen to this ayat (verse)  Ãóãú áóåõãú äóÕöíÈñ ãøöäó Çáúãõáúßö ÝóÅöÐÇð áÇøó íõÄúÊõæäó ÇáäøóÇÓó äóÞöíÑÇð
4.53 . Au wanayo sehemu ya ufalme? Basi hapo wasingewapa watu hata tundu ya kokwa ya tende.

[ Srh. An-Nisa : 53 ]
Who's Online

 

© 2009 Al-iman :: Daawah and Knowledge

Web Master