|
Jadwali Yako ya Ramadhaan |
|
Monday, 16 August 2010 |
JADWALI YAKO YA RAMADHAANJumuiya yako ya Al Iman imekuandalia Jadwali ambayo itakusaidia sana katika mwezi mtukufu InshaAllah kama utaifuata. |
|
Last Updated ( Monday, 16 August 2010 )
|
|
Read more...
|
|
|
Tunayopaswa Kujichunga Nayo Katika Mwezi wa Ramadhaan |
|
Monday, 24 August 2009 |
Abu ‘AmmaarAllah Subhaanahu Wata’ala alipofaridhisha funga ya Ramadhaan na kuifanya kuwa wajibu kwetu alikuwa akilenga katika kutujenga kuwa na Taqwaa - Uchamungu. Hili ndilo lengo alilolitaja katika Suuratul Baqarah 183. Allah Subhaanahu Wata’ala hajakusudia kutuletea madhara wala kutupa mzigo katika suala zima la Swaumu kwani ni ibaada inayoweza kufanywa na kila Muislamu bila ya kujali hali yake isipokuwa kwa wagonjwa na wengineo wenye udhuru ambao kisheria huwazuia kufunga. |
|
Last Updated ( Monday, 16 August 2010 )
|
|
Read more...
|
|
|
Sunday, 30 September 2007 |
|
Mimi Ni Ramadhaan Imekusanywa na: Abu Faatwimah
Asalaamu 'alaykum Warahmatu Llaahi Wabarakaatuh,Ametukuka Muumba wa viumbe vyote Anayestahiki kuabudiwa pekee kwa haki, Muumba Aliyehalalisha usiku katika masiku yangu kuwa ndio wakati wa kuruhusiwa kuingiliana na wake zenu na kula na kunywa mpaka ubainike kwenu weupe wa alfajiri katika weusi wa usiku, |
|
Last Updated ( Wednesday, 11 August 2010 )
|
|
Read more...
|
|
|
|
<< Start < Prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 Next > End >>
|
| Results 1 - 4 of 83 |