|
Madrasah Kuanza Baada ya Ramadhaan |
|
|
|
|
Sunday, 06 September 2009 |
Assalaam AlaykumBaada ya kutokuwa na Madrasah kwa muda mrefu kutokana na kutokupata kibali cha kufanyia shughuli zetu kwenye Community centre na pia kwa msikiti kuendelea kujengwa, kwa uwezo wake Subhaanahu wa Ta’ala tunapenda kuwaarifu wazazi wote kwamba Madrasah itafunguliwa tena Baada ya Ramadhaan.Madrasah itafunguliwa tena pale pale Msikitini Abington Avenue kwa siku za Jumamosi na Jumapili tu kuanzia saa 4.00 asubuhi hadi saa 8.00 mchana. Siku na tarehe mtajuulishwa.Kwa kuanzia hatutochukuwa wanafunzi wowote wapyaWashukran Madrasah
|
|
Last Updated ( Friday, 16 October 2009 )
|