The Hijri Calendar Converter Widget
requires Adobe Flash
Player 7 or higher.

To view it, click here
to get the latest
Adobe Flash Player.
Yaliyomo
Nyumbani
Quraan
Ukumbi
Makala
Fiqh
Sira
Maadili
Itikadi
Habari
Videos
Mapishi
Mawaidha
Ratiba Ya Swalah
Vitabu
Quiz
Matangazo
Fomu
Hadiyth 40
Hadiyth Za Wiki
This Month Newsletter
HABARI
Nyumbani
KUWA NA HAMU YA MALI NA ELIMU NA KUITUMIA KWA AJILI YA ALLAH
Friday, 04 December 2009

Kutoka kwa Abdullah Ibn Mas`ud, radhi za Allah ziwe juu yake: Mtume Swalla Llahu ‘Alayhi Wassalam amesema:

"Hakuna husda (wivu) ila kwa mambo mawili:  mtu aliejaaliwa mali na akaitumia kwa njia nzuri, na kwa mtu aliejaaliwa elimu na kuifanyia kazi na kuwafundisha wengine.”


[Al-Bukhari na Muslim]

Maelezo:

Hadithi inatilia mkazo kujifunza elimu yenye manufaa pamoja na kutumia mali kwa ajili ya Allah Subhaanahu Wata’ala. Elimu bora ni ile inayotokana na Quraan pamoja na Sunnah.

Muislamu amekatazwa kumhusudu mwenziwe. Husda imeruhusika pale tu mtu anapomuona mwenziwe amejaaliwa uwezo wa mali na elimu na akazishukuru neema hizo kwa kuzitumia kwa ajili ya Allah Subhaanahu Wata’ala.  Hapo ndipo unaweza kumuonea wivu mtu kama huyo kwa kutumia alivyobarikiwa na Mola wake kwa njia nzuri zitakazomridhisha Allah Subhaanahu Wata’ala.

 
Njia ya Watu Wema Waliotutangulia
Sunday, 01 November 2009

 

 

Njia ya watu wema waliotutangulia_Ustaadh Badru Jaafar.mp3

Muhaadhara uliofanyika Northampton tarehe 12 Dhul Qaidah 1430- 31/10/09.

Ni Muhaadhara ambao Ustaadh Badru Ja’far alituandalia kwa kutuaga baada ya kumaliza shughuli iliyomleta hapa Uingereza ya masomo na kutuusia tushikamane na njia za waja wema waliotutangulia.

 

 
Nifasi
Sunday, 01 November 2009

ABU ‘AMMAAR

3  NIFASI 

Nifasi kilugha ni kujifungua. Mwanamke aliyejifungua kwa lugha ya kiarabu huitwa Nufasaa.

Ama Nifasi kisheria ni Ni damu anayotoka mwanamke kabla, wakati wa kujifungua na kuendelea kutoka kwa muda maalum.

Damu ya Nifasi inaweza kutoka kabla ya kujifungua ambapo baadhi ya wanawake wanapovunja chupa kwa mfano wanaweza kuona damu. Hivyo ikitoka kabla ya kujifungua na wakati chupa imekwishapasuka itahesabika ni Nifasi. Pia huendelea kwa muda mpaka itakapokatika. Damu inayotoka ni baada ya kujifungua ambapo fuko la uzazi hujisafisha

Last Updated ( Sunday, 01 November 2009 )
Read more...
 
<< Start < Prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 Next > End >>

Results 25 - 28 of 84
Administrator
Wahusika
Aya za Quran
Displaying:
Srh. As-Sajdah (32)
Ayat 4
 Listen to this ayat (verse) 
32.4 . Allah it is Who created the heavens and the earth , and that which is between them , in six Days . Then He mounted the throne . Ye have not , beside Him , a protecting friend or mediator . Will ye not then remember?

[ Srh. As-Sajdah : 4 ]
Who's Online

 

© 2010 Madrasatul Iman al – Islamiyyah

Web Master